focusmedia Search This Blog

Thursday, March 30, 2017

MIEZI MINNE BAADA YA UZINDUZI WA NDEGE MBILI ZA ATCL(BOMBARDIER),WAKUSANYA BILIONI TISA


Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege la ATCL anasema wamefanikiwa kukusanya Shilingi Bilioni 9 kwa Miezi minne tu kwa kutumia Ndege hizo mbili zilizonunuliwa na Rais Magufuli, nakuleta utata mkubwa na wapinzani wa siasa nchini waliodai kuwa hazikuwa na tija kwa Taifa.

Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) ilianzishwa mwezi Novemba 2002 baada ya Serikali kubinafsisha lililokuwa Shirika la Ndege la Tanzania (Air Tanzania Corporation, ATC); katika Shirika hilo, Shirika la Ndege la Afrika Kusini (SAA) lilinunua hisa asilimia 49 ndani ya ATC. Hata hivyo ubia kati ya ATCL na SAA ulikabiliwa na matatizo ya kiuendeshaji na kulazimika kusitishwa mwezi Agosti 2006 na ATCL kurejeshwa tena Serikalini kwa asilimia 100.


No comments:

Post a Comment