focusmedia Search This Blog

Friday, June 28, 2019

WAJUMBE KAMATI TENDAJI MABUNGE JUMUIYA YA MADOLA TAWI LA TANZANIA WAPATIWA SEMINA YA KUJENGEWA UWEZO BUNGENI JIJINI DODOMA

 

V25A9676
 Mjumbe wa kamati tendaji ya Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika tawi la Tanzania, Mhe. Dkt. Sware Semesi (kulia) akizungumza na wajumbe wa kamati hiyo (hawapo kwenye picha) wakati wa semina ya kuwajengea uwezo wajumbe wa kamati tendaji ya Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika tawi la Tanzania iliyofanyika leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Kushoto ni Mwenyekiti wa Bunge na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Mhe. Mussa Azzan Zungu
V25A9687
V25A9719
 Mwenyekiti wa Bunge na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Mhe. Mussa Azzan Zungu akifungua semina ya kuwajengea uwezo wajumbe wa kamati tendaji ya Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika tawi la Tanzania iliyofanyika leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
V25A9802
 Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Dkt. Emmanuel Mallya akiwasilisha maada wakati wa semina ya kuwajengea uwezo wajumbe wa kamati tendaji ya Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika tawi la Tanzania iliyofanyika leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
V25A9856
 Mjumbe wa kamati tendaji ya Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika tawi la Tanzania, Mhe. Zainab Vullu akizungumza wakati wa semina ya kuwajengea uwezo wajumbe wa kamati tendaji ya Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika tawi la Tanzania iliyofanyika leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Kulia ni Mjumbe wa kamati tendaji ya Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika tawi la Tanzania, Mhe. Mohamed Mchengerwa
V25A9901
Wajumbe wa kamati tendaji ya Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika tawi la Tanzania, Sekretarieti ya Mabunge ya Jumuiya ya Madola kanda ya Afrika tawi la Tanzania pamoja na wawezeshaji wakiwa katika picha ya pamoja baada ya semina ya kujengewa uwezo iliyofanyika leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

RAIS DK. MAGUFULI AKUTANA NA MWENYEKITI WA JUKWAA LA WABUNGE WA SADC NA SPIKA JOB NDUGAI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM


 
s%2B%25281%2529
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wabunge wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini kwa Afrika (SADC), Mhe. Veronica Nataniel Macamo Dlhovo, Katibu Mkuu wa Jukwaa hilo Mhe. Boemo Skgoma ambao wameongozana na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai na Naibu Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Damas Ndumbaro alipokutana na kufanya mazungumzo na wageni hao Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 28, 2019.
 
s%2B%25282%2529
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi zawadi ya picha ya Tingatinga na Kinyago Mwenyekiti wa Jukwaa la Wabunge wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini kwa Afrika (SADC), Mhe. Veronica Nataniel Macamo Dlhovo, alipokutana na na kufanya mazungumzo naye Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 28, 2019.
s%2B%252803%2529
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea zawadi ya picha ya kuchora toka Mwenyekiti wa Jukwaa la Wabunge wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini kwa Afrika (SADC), Mhe. Veronica Nataniel Macamo Dlhovo, huku akishuhudiwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai na Naibu Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Damas Ndumbaro alipokutana na kufanya mazungumzo na mgeni huyo Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 28, 2019
s%2B%25284%2529

s%2B%25285%2529
   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wabunge wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini kwa Afrika (SADC), Mhe. Veronica Nataniel Macamo Dlhovo, Katibu Mkuu wa Jukwaa hilo Mhe. Boemo Skgoma pamoja na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai na Naibu Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Damas Ndumbaro Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 28, 2019
s%2B%25286%2529
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata picha ya kumbukumbu na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wabunge wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini kwa Afrika (SADC), Mhe. Veronica Nataniel Macamo Dlhovo pamoja na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai baada ya kukutana na kufanya mazungumzo na mgeni huyo Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 28, 2019 PICHA NA IKULU

Friday, June 21, 2019

SOUTHERN AFRICAN DEVELOPMENT COMMUNITY (SADC)

Nchi 16 Eneo ni km.sq 9,882,959 (3,815,832 sq. mi)Zaidi ya Watu Mil 300, Mtaji huu ulete Utulivu wa kisiasa,utawala bora utakaochochewa mapinduzi ya maendeleo ya kiuchumi na biashara kwa Watu wote..SISI SI MASIKINI