focusmedia Search This Blog

Thursday, December 14, 2017

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE.DKT.JOHN POMBE MAGUFULI AFUNGUA NYUMBA 150 ZA SHIRIKA LA NYUMBA NHC ZILIZOPO IYUMBU MKOANI DODOMA DISEMBA 13,2017.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkuu wa mkoa wa Dodoma Dkt.Bilinith Mahenge alipowasili katika sherehe ya ufunguzi wa nyumba 150 za shirika la nyumba (NHC) zilizopo Iyumbu Manispaa ya Dodoma  disemba 13,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya shirika la nyumba NHC  Brandina Nyoni alipowasili katika sherehe ya ufunguzi wa nyumba 150 za shirika la nyumba (NHC) zilizopo Iyumbu Manispaa ya Dodoma disemba 13,2017.
Muonekano wa baadhi ya nyumba 150 za shirika la nyumba (NHC) zilizopo Iyumbu Manispaa ya Dodoma zilizofunguliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli disemba 13,2017.
 Mkurugenzi mkuu wa shirika la nyumba NHC  Nehemia Mchechu  akihutubia mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli katika sherehe ya ufunguzi wa nyumba 150 za shirika la nyumba (NHC) zilizopo Iyumbu Manispaa ya Dodoma disemba 13,2017.

Waziri wa nyumba na makzai Mhe.Wiliam Lukuvi akihutubia mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli katika sherehe ya ufunguzi wa nyumba 150 za shirika la nyumba (NHC) zilizopo Iyumbu Manispaa ya Dodoma disemba 13,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya shirika la nyumba NHC  Brandina Nyoni katika sherehe ya ufunguzi wa nyumba 150 za shirika la nyumba (NHC) zilizopo Iyumbu Manispaa ya Dodoma disemba 13,2017.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akihutubia katika sherehe ya ufunguzi wa nyumba 150 za shirika la nyumba (NHC) zilizopo Iyumbu Manispaa ya Dodoma disemba 13,2017.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akisikiliza maelezo ya mradi kabla ya ufunguzi katika sherehe ya ufunguzi wa nyumba 150 za shirika la nyumba (NHC) zilizopo Iyumbu Manispaa ya Dodoma disemba 13,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akifungua kitambaa kuashiria ufunguzi wa nyumba 150 za shirika la nyumba (NHC) zilizopo Iyumbu Manispaa ya Dodoma disemba 13,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akimpa mkono wa pongezi mbunge wa Dodoma Mjini ambae pia ni Naibu waziri wa Ajira,Vijana ,Kazi na walemavu Anthony Mavunde mara baada ya kufunua kitambaa kuashiria ufunguzi wa nyumba 150 za shirika la nyumba (NHC) zilizopo Iyumbu Manispaa ya Dodoma disemba 13,2017.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa nyumba 150 za shirika la nyumba (NHC) zilizopo Iyumbu Manispaa ya Dodoma disemba 13,2017.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akijaribu kufungua bomba la maji katika moja ya nyumba aliyoingia kukagua mara baada ya  kufungua wa nyumba 150 za shirika la nyumba (NHC) zilizopo Iyumbu Manispaa ya Dodoma disemba 13,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akiangalia miundombinu ya chumbani katika moja ya nyumba aliyoingia kukagua mara baada ya  kufungua wa nyumba 150 za shirika la nyumba (NHC) zilizopo Iyumbu Manispaa ya Dodoma disemba 13,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akiwa na msanii Mrisho Mpoto na kundi lake pamoja na msanii wa kikundi cha Mwanamila cha Dodoma  mara baada ya  kufungua wa nyumba 150 za shirika la nyumba (NHC) zilizopo Iyumbu Manispaa ya Dodoma disemba 13,2017.
PICHA NA MAELEZO NA IKULU

Wednesday, December 13, 2017

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE.DKT.JOHN POMBE MAGUFULI AFUNGUA TAWI LA BENKI YA CRDB JENGO LA LAPF DODOMA DISEMBA13,2017.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akiwa ameambatana na Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya CRDB alipokuwa akiwasili wakati wa sherehe za Ufunguzi wa tawi la benki ya CRDB jengo la LAPF Dodoma disemba 13,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akisalimiana na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Mhe.Jobu Ndugai wakati wa sherehe za Ufunguzi wa tawi la benki ya CRDB jengo la LAPF Dodoma disemba 13,2017.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akiwa na viongozi wengine wa kitaifa wakiimba wimbo wa taifa wakti wa sherehe za ufunguzi wa tawi la benki ya CRDB jengo la LAPF Dodoma disemba 13,2017.
 Mkurugenzi mtendaji wa Benki ya CRDB Dkt.Charles Kimei akizungumza mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli wakati wa ufunguzi wa tawi la benki ya CRDB jengo la LAPF Dodoma disemba 13,2017.
Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya CRDB pamoja Mkurugenzi mtendaji wa Benki ya CRDB Dkt.Charles Kimei wakimkabidhi hundi ya shilingi milioni 100 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli kwaajili ya Ufadhili wa miradi mbalimbali ya maendeleo kabla ya kufungua tawi la benki ya CRDB jengo la LAPF Dodoma disemba 13,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akikabidhi mfano wa hundi ya milioni 100 kwa Mkuu wa mkoa wa Dodoma Dkt.Bilinith Mahenge kwaajili ya ujenzi wa Hodi katika Hospitali ya mkoa Dodoma  mara baada ya kukabidhiwa hundi hiyo na Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya CRDB Bw.Ally Laay kabla ya kufungua tawi la benki ya CRDB jengo la LAPF Dodoma disemba 13,2017.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akihutubia wananchi kabla ya  kufungua tawi la benki ya CRDB jengo la LAPF Dodoma disemba 13,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akisalimiana na Waziri mkuu mstaafu wa  Jamhuri ya Muungano  Mzee John Malecela mara baada ya kuhutubia wakati wa kufungua tawi la benki ya CRDB jengo la LAPF Dodoma disemba 13,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akifungua tawi la benki ya CRDB jengo la LAPF Dodoma disemba 13,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akimpongeza Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya CRDB mara baada ya kufungua tawi la benki ya CRDB jengo la LAPF Dodoma disemba 13,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akikata utepe kuashilia kufungua rasmi tawi la benki ya CRDB jengo la LAPF Dodoma disemba 13,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akizungumza na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Mhe.Jobu Ndugai mara baada ya kufungua tawi la benki ya CRDB jengo la LAPF Dodoma disemba 13,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akisalimiana na aliyekuwa Waziri wa kwanza wa Serikali za Mitaa nchini Balozi mzee Job Lusinde mara baada ya kufungua tawi la benki ya CRDB jengo la LAPF Dodoma disemba 13,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akisalimiana na kumpongeza  Msanii wa muziki wa kizazi kipya Peter Msechu mara baada ya kufungua tawi la benki ya CRDB jengo la LAPF Dodoma disemba 13,2017.

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE.DKT.JOHN POMBE MAGUFULI AONGOZA SHEREHE ZA UHURU WA TANZANIA BARA ZILIZOFANYIKA UWANJA WA JAMHURI DODOMA DISEMBA9,2017.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono wananchi wakati wa sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea salamu ya Rais kutoka kwa Gwaride maalumu lilioandaliwa na Majeshi ya Ulinzi na usalama wakati wa sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikagua  Gwaride maalumu lilioandaliwa na Majeshi ya Ulinzi na usalama wakati wa sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Satano Mahenge mara baada ya kukagua  Gwaride maalumu lilioandaliwa na Majeshi ya Ulinzi na usalama wakati wa sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais mstaafu wa awamu ya nne Mhe,Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais mstaafu wa awamu ya tatu Mhe,Benjamini William Mkapa wakati wa sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais mstaafu wa awamu ya pili Mhe,Ally Hassan Mwinyi wakati wa sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Dkt. Ally Mohammed Shein wakati wa sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.


Gwaride maalumu lilioandaliwa na Majeshi ya Ulinzi na usalama likipita mbele kwa heshima kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  wakati wa sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.

Kikosi maalumu cha makomandoo kutoka Jeshi la wananchi wa Tanzania wakipita mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  wakati wa sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.
 

Makomandoo kutoka Jeshi la wananchi wa Tanzania wakionyesha umahili na ushujaa wao mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  wakati wa sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017

Makomandoo kutoka Jeshi la wananchi wa Tanzania wakionyesha umahili na ushujaa wao mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  wakati wa sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017
 Kikundi cha waendesha piki piki za misafara ya Viongozi kutoka Jeshi la Polisi wa Tanzania wakionyesha umahili na ushujaa wao mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  wakati wa sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017
Askari pikipiki ya msafara wa kiongozi kutoka Jeshi la Polisi wa Tanzania akitoa heshima kwa  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  wakati wa sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017
Askari pikipiki ya msafara wa kiongozi kutoka Jeshi la Polisi wa Tanzania akitoa heshima kwa  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  wakati wa sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017
Marais wastaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiongozwa na Mhe,Ally Hassan Mwinyi(watatu kutoka kulia)Mhe,Benjamin William Mkapa(katikati)pamoja na Mhe,Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wakifurahi   wakati wa sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.
Ndege vita kutoka JWTZ ikitoa heshima kwa  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  wakati wa sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Viongozi wengine wa kitaifa wakati wa sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.
Rais wa Zanzibar Mhe, Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri mkuu Mhe,Majariwa Kasim pamoja na wake za marais na Viongozi wengine wa kitaifa wakati wa sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.
Makamu wa Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Gharib Bilali(wakwanza kutoka kulia)Mhe,Malecela(katikati)pamoja na viongozi wengine wakiimba wimbo amani  wakati wa sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.
Makamu wa Rais Mhe,Mama Samia Suluhu Hassani(wakwanza kutoka kushoto) Makamu wa pili wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar Mhe.Balozi Seif Iddi na Marais wastaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiongozwa na Mhe,Ally Hassan Mwinyi(watatu kutoka kulia)Mhe,Benjamin William Mkapa(katikati)pamoja na Mhe,Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wakifurahi   wakati wa sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.
Spika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Job Yusto Ndugai (wapili kutoka kulia)pamoja na Viongozi wengine wa Kitaifa wakati wa sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.
Mjane wa Rais  wa Baba wa Taifa Mama Maria Nyerere akiwa na Mjane wa Rais wa kwanza wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mama Fatuma Karume   wakiwa katika sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.

Mawaziri na Viongozi mbalimbali wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar  wakiwa katika sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa amesimama na Makamu wa Rais Mhe,Mama Samia Suluhu Hassan pamoja na Viongozi wastaafu na wasasa wakati wa kupokea salamu ya heshima kutoka kwa vijana wa alaiki katika sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017
Vijana wa alaiki wakiwa wameumba umbo la ramani ya Tanzania  katika sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ,Makamu wa Rais Mhe,Mama Samia Suluhu Hassan,Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Mhe,Dkt.Ally Mohammed Shein pamoja na Viongozi wastaafu na wasasa wakati wakitazama burudani kutoka kwa vijana wa alaiki katika sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.
Vijana wa alaiki wakiimba wimbo wa Uzalendo na kauli mbiu ya tisa disemba katika sherehe ya Uhuru wa Tanzania Barazili zofanyika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ,Makamu wa Rais Mhe,Mama Samia Suluhu Hassan,Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Mhe,Dkt.Ally Mohammed Shein pamoja na Viongozi wastaafu na wasasa wakati wakishangilia  burudani kutoka kwa vijana wa alaiki katika sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.
Waziri wa nchi ya waziri mkuu,Sera,Bunge,Kazi,Ajira,Vijana na walemavu Mhe,Jenista Joackim Mhagama  akicheza wimbo wa amani katika sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.

Wasanii wa muziki wa kizazi kipya na waigizaji wakiimba wimbo maalumu wa amani katika sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi na Viongozi mbalimbali wakati wa sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ,Makamu wa Rais Mhe,Mama Samia Suluhu Hassan,Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Mhe,Dkt.Ally Mohammed Shein pamoja na Viongozi wastaafu na wasasa wakati wakiwa wamesimama wakati wa hotuba ili kuwaombea wanajeshi waliopoteza maisha Nchini Congo tarehe 8/12/2017  katika sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi na Viongozi mbalimbali wakati wa sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.
Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Janet Magufuli akiagana na Mama Maria Nyerere mke wa Rais wa kwanza wa Tanzania  Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mara baada ya kumalizika sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.
Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Janet Magufuli akiagana na Bi,Fatuma Karume mke wa Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Abeid Amani Karume  mara baada ya kumalizika sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Disemba 9, 2017.